July 3, 2024

Day

Kampasi ya Mizengo Pinda ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) ilishiriki kwa mafanikio katika maadhimisho ya Siku ya Nyuki Duniani yaliyofanyika mkoani Dodoma, yakiwa yamefungwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, tarehe 20 Mei 2024.   Dkt. Philip Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano...
Read More