July 23, 2024

Day

Katika hatua ya kipekee ya kushirikiana kwa maendeleo ya jamii, Chuo Kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo (SUA)  kimeungana na Halmashauri ya Mpimbwe kuboresha elimu na utafiti katika sekta ya kilimo. Ushirikiano huu unalenga kuimarisha uchumi wa nchi na kutoa msaada wa kitaalamu kwa wakulima na wafugaji wa eneo hilo. SUA, chuo kinachojulikana kwa kutoa wataalamu...
Read More