Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Josiah Katani awaongoza wafanayakazi na wanafunzi wa Kampasi ya Mizengo Pinda katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Zoezi la upimaji wa usikivu liliratibiwa na Watalamu kutoka Kitengo cha Elimu Jumuishi na Mahitaji Maalum wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chini ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET).

Mtaalamu wa afy ya masikio Mr Lukonge John akimfanyia vipimo Prof Josiah Katani katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Katika picha ni baadhi ya watumishi wa Kampasi ya Mizengo Pinda waliojitokeza katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Katika picha ni baadhi ya wanafunzi wa Kampasi ya Mizengo Pinda waliojitokeza katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Related Posts

anabolizantes comprar online 10

Esteroides Anabólicos Al Mejor Precio En España Aumentan la producción de proteínas responsables del aumento de la masa muscular. La...

Capacity Building Workshop for Academic Staff and Researchers

As part of ongoing efforts to enhance higher education and research, Prof. Robinson Mdegela and Prof. Gration Rwegasira have conducted...

Understanding Xarelto Pills

Xarelto pills are a widely prescribed medication used for treating various conditions related to blood clotting. As a direct oral...