Mkuu wa Mkoa wa katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko ajifunza Kuhusu Aina Anuai za Nyuki wanaopatikana Tanzania katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya

Mkuu wa Mkoa wa katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko  alipata fursa ya kuoneshwa Aina Anuai za Nyuki wanaopatikana Tanzania alipotembelea banda la chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya.

Related Posts

anabolizantes comprar online 10

Esteroides Anabólicos Al Mejor Precio En España Aumentan la producción de proteínas responsables del aumento de la masa muscular. La...

Capacity Building Workshop for Academic Staff and Researchers

As part of ongoing efforts to enhance higher education and research, Prof. Robinson Mdegela and Prof. Gration Rwegasira have conducted...

Understanding Xarelto Pills

Xarelto pills are a widely prescribed medication used for treating various conditions related to blood clotting. As a direct oral...