Rasi Wa Kampasi Ya Mizengo Pinda Prof. Josiah Katani afanya ukaguzi wa maeneo ya shamba la mafunzo lilipo Vilolo ili kuthibiti uingizwaji wa mifugo unaofanywa na wakulima wanaolizunguka eneo hilo

Katika zoezi hilo, Prof. Katani aliambatana na Naibu Rasi wa Ndaki Mipango, Utawala na Fedha Prof. Jeremia Makindara, Bwana Shamba wa Kamapasi ya Mizengo Pinda ndugu Tambalu Alphonsi pamoja na Mhadhiri Msaidizi katika fani ya Misitu ndugu Evaristus Magani.

Ukaguzi huo ulilenga kuangalia namna bora ya uboreshwaji wa uwekaji wa mabango ya makatazo ya uingizwaji wa mifugo katika eneo la Shamba la mafunzo unaofanywa na wakulima wanaolizunguka eneo hilo.

Rasi wa kampasi ya Mizengo Pinda Prof. Josiah Katani akipokea maelezo kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Usalama Kampasi ya Mizengo Pinda ndugu David Kayombo alipotembelea katika shamba la mafunzo ya chuo hicho lilipo Vilolo Mkoani Katani.

Related Posts

SUA-MPC Students Gain Practical Agricultural Experience Through Empien Company Limited Collaboration

Students from the Mizengo Pinda Campus (MPC) of Sokoine University of Agriculture (SUA) have gained invaluable hands-on experience in seed...

SUA-Mizengo Pinda Campus Leadership Visits Mpimbwe Radio to Discuss Achievements and Opportunities

The Acting Principal of the Sokoine University of Agriculture—Mizengo Pinda Campus, Professor Anna Sikira, along with the Acting Head of...

SUA Students Benefit from Practical Training in Tour Guiding and Environmental Conservation

The Sokoine University of Agriculture (SUA) – Mizengo Pinda Campus, in collaboration with Nomad Safari and the Watu, Simba na...