Rasi Wa Kampasi Ya Mizengo Pinda Prof. Josiah Katani afanya ukaguzi wa maeneo ya shamba la mafunzo lilipo Vilolo ili kuthibiti uingizwaji wa mifugo unaofanywa na wakulima wanaolizunguka eneo hilo

Katika zoezi hilo, Prof. Katani aliambatana na Naibu Rasi wa Ndaki Mipango, Utawala na Fedha Prof. Jeremia Makindara, Bwana Shamba wa Kamapasi ya Mizengo Pinda ndugu Tambalu Alphonsi pamoja na Mhadhiri Msaidizi katika fani ya Misitu ndugu Evaristus Magani.

Ukaguzi huo ulilenga kuangalia namna bora ya uboreshwaji wa uwekaji wa mabango ya makatazo ya uingizwaji wa mifugo katika eneo la Shamba la mafunzo unaofanywa na wakulima wanaolizunguka eneo hilo.

Rasi wa kampasi ya Mizengo Pinda Prof. Josiah Katani akipokea maelezo kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Usalama Kampasi ya Mizengo Pinda ndugu David Kayombo alipotembelea katika shamba la mafunzo ya chuo hicho lilipo Vilolo Mkoani Katani.

Related Posts

anabolizantes comprar online 10

Esteroides Anabólicos Al Mejor Precio En España Aumentan la producción de proteínas responsables del aumento de la masa muscular. La...

Capacity Building Workshop for Academic Staff and Researchers

As part of ongoing efforts to enhance higher education and research, Prof. Robinson Mdegela and Prof. Gration Rwegasira have conducted...

Understanding Xarelto Pills

Xarelto pills are a widely prescribed medication used for treating various conditions related to blood clotting. As a direct oral...