Watumishi na Wanafunzi wa Kampasi ya Mizengo Pinda wajengewa uwezo wa namna ya kuwatambua watu wenye mahitaji maalum na namna ya kuwahudumia

Semina iliyolenga kuwajengea uwezo wa namna ya kuwatambua watu wenye mahitaji maalum na namna ya kuwahudumia katika kufanikisha utoaji wa elimu jumuishi iliendeshwa na wataalamu mbalimbali wakiongozwa na Dr Thabita Lupesa ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Elimu Jumuishi na Mahitaji Maalum wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chini ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET).

Katika semina hiyo mada mbalimbali ziliwasilishwa. Mada hizo ni pamoja na umuhimu wa elimu jumuishi, njia za kubaini watu wenye mahitaji maalumu na utoaji wa afua stahiki kwa watu wenye mahitaji maalum.

Katika semina hiyo pia,watumishi na wanafunzi wa Kampasi ya Mizengo Pinda walipata nafasi ya kupima uoni wa macho na usikivu wa masikio.

Dr Thabita Lupesa  Mkuu wa Kitengo cha Elimu Jumuishi na Mahitaji Maalum wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo akitoa mada juu ya masuala mbalimbali kuhusu elimu jumuishi

Ndugu Benigno Kumpanga mtaalamu wa masuala ya Elimu Jumuishi na mahitaji maaalum akitoa mada juu ya elimu jumuishi na namna ya kuwatambua watu wenye mahitaji maaalum

Ndugu Benigno Kumpanga akiwaongoza watumishi katika zoezi la kuchangamsha na kuuweka mwili sawa wakati wa semina

Related Posts

anabolizantes comprar online 10

Esteroides Anabólicos Al Mejor Precio En España Aumentan la producción de proteínas responsables del aumento de la masa muscular. La...

Capacity Building Workshop for Academic Staff and Researchers

As part of ongoing efforts to enhance higher education and research, Prof. Robinson Mdegela and Prof. Gration Rwegasira have conducted...

Understanding Xarelto Pills

Xarelto pills are a widely prescribed medication used for treating various conditions related to blood clotting. As a direct oral...