Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda atembelea banda la chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya nanenane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya

Prof Adolf Mkenda akisaini kitabu cha wageni wanaotembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane

Prof Adolf Mkenda akipokea maelezo kutoka kwa Ndugu Naftari Leha ambaye ni Mwanafunzi anayetarajia kuhitimu mwaka huu katika Shahada ya Sayansi ya Usimamizi wa Rasilimali Nyuki katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda

Prof Adolf Mkenda akipokea zawadi ya asali na mafuta ya alizeti kutoka kwa Naibu Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Jeremia Makindara kwa niaba ya Chuo 

 

Related Posts

SUA Students Benefit from Practical Training in Tour Guiding and Environmental Conservation

The Sokoine University of Agriculture (SUA) – Mizengo Pinda Campus, in collaboration with Nomad Safari and the Watu, Simba na...

Viongozi wa SUA na Wakandarasi wa Ujenzi Wakutana Kujadili Changamoto na Mipango ya Majengo Mapya

Viongozi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), pamoja na wasimamizi wa majengo kutoka Kampuni ya Crystal Consultants na...

Former Prime Minister Mizengo Pinda Visits Mizengo Pinda Campus to Observe Development Activities

The Mizengo Pinda Campus of Sokoine University of Agriculture (SUA) in Katavi recently hosted an esteemed visitor, Hon. Mizengo Pinda,...